Friday 4 January 2013

Android waja na application mpya ya kuperuzi habari za Tanzania



 
Apprux application inapenda kuwatangazia kupatikana kwa android application buree yenye uwezo wa kukusaidia kuperuzi kwenye vichwa vya habari vya baadhi ya blogs, website na magazeti ya Tanzania, pia inakupa uwezo wa kuona habari toka kwenye original source kwa urahisi zaidi

Application hii imetengenezwa kwa ajili ya watanzania na ni bure kabisa. 


Kwa wote wenye  phone yenye android 2.1 na kuendelea unaweza kutumia hii application kwenye simu yak bila shida.

Tunategemea itawasaidia, pia tunakaribisha maoni yenu kupitia email ya iannashin@gmail.com




Kudownload ingia kwenye hii link https://play.google.com/store/apps/details?id=com.ian.bongonews&feature=search_result#?t=W251bGwsMSwxLDEsImNvbS5pYW4uYm9uZ29uZXdzIl0.
Read More