Tuesday, 29 January 2013

Gesi utata mtupu

Spika awafunga wabunge midomo. SAKATA la ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asili kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam, linaendelea kuwa utata mtupu kwa Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kutokana na usiri uliotanda mradi huo. Rasilimali hiyo imezua vurugu kubwa mkoani Mtwara hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu kadhaa pamoja na uharibifu wa mali za serikali na viongozi wa kisiasa, huku wananchi wakitaka waelezwe jinsi watakavyonufaika. Hata hivyo, utata mkubwa umenza kujitokeza katika suala hilo kutokana na wawekezaji wa mradi huo kutishia kujitoa endapo mgogoro huo usipopatiwa ufumbuzi haraka. Tanzania Daima Jumatano limedokezwa kuwa, kutokamilika kwa sera ya gesi ni sababu mojawapo inayochangia kukuza mgogoro huo kwani hadi sasa haijulikani nani...
Read More

KANYE WEST AMNUNULIA KIM KARDASHIAN BANGIRI ZA DHAHABU ZENYE GHARAMA YA $ 100,000.

Baada ya Kim Kardashian kuitembelea Afrika kule Ivory Cost, Kanye West ambaye ni mpenzi wake na baba wa mtoto mtarajiwa ameamua kumnunulia bangiri za kuvaa mkononi zenye thamani ya dola 100,000. Kim mwenye umri wa miaka 32 kwa sasa, ameanza kuonyesha ujauzito wake alionao kwa nguo anazotupia, tazama picha hiyo hapao chini. ...
Read More

Nafasi mpya za kazi 29 january 2013

National Programme Officer - Governance (Junior Position) Employer: Swiss Agency for Development and Cooperation Area: Dar es Salaam Application Deadline: Feb 15, 2013 Position Description: In order to strengthen our Governance & Accountability team we are currently looking for an enthusiastic, proactive and dynamic young person who wants to develop his / her career in development cooperation in order to fill the position of National Programme Officer - Governance (Junior Position)Click Here for full Position Description and to Apply. Custom Declaration Officer Employer: Shugulika Recruitment Areas: Dar Es Salaam Application Deadline: Feb 18, 2013 Position Description: Qualifications: Holder of an advanced certificate of secondary plus a...
Read More