Wasanii wakiwa wamejitokeza katika msiba wa mwenzao.
 Watu waliojitokeza msibani huku wengine wakiwa wamekaa kwenye mitalo ya maji.
Watu wakiwa msibani huku wakijadili 
mambo mbali mbali. Msiba wa Marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' umewagusa 
wengi na kuleta simanzi. Marehemu Juma Kilowoko anatarajiwa kuzikwa 
ijumaa saa 5 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. 
 
No comments:
Post a Comment