Kwa taarifa zilizopatikana kutoka 
kwenye vyombo mbalimbali vya habari, zinasema kuwa msanii aliyekuwa 
akiugua kwa muda mrefu, mwigizaji mahiri Bongo, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ 
amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Marehemu 
Sajuki alikuwa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya 
kuwa amedondoka jiji Arusha mwishoni mwa mwaka uliopita. 
 
 
Innalillah wainaillaih rajiun 
 
 
No comments:
Post a Comment